Surah Al Qamar aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ﴾
[ القمر: 51]
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We have already destroyed your kinds, so is there any who will remember?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
Na bila ya shaka Sisi tumekwisha waangamiza wengine walio fanana nanyi katika ukafiri. Je! Yupo aliye waidihika?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wapo miongoni mwao waliyo yaamini, na wapo walio yakataa. Na Jahannamu yatosha kuwa ni
- Isipo kuwa yule aliye niumba, kwani Yeye ataniongoa.
- Sisi hatuwateremshi Malaika ila kwa sababu ya haki, na hapo hawatapewa muhula.
- Hija ni miezi maalumu. Na anaye kusudia kufanya Hija katika miezi hiyo, basi asiseme maneno
- Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
- Alif Lam Ra. Hizo ni Aya za Kitabu chenye Hikima.
- Basi ubaya wa waliyo yatenda utawadhihirikia, na yatawazunguka waliyo yafanyia maskhara.
- Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
- Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
- Na wapeni mayatima mali yao. Wala msibadilishe kibaya kwa kizuri. Wala msile mali zao pamoja
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



