Surah Nahl aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا تُسِرُّونَ وَمَا تُعْلِنُونَ﴾
[ النحل: 19]
Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Allah knows what you conceal and what you declare.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
Na Mwenyezi Mungu kwa ujuzi wake ulio kusanya kila kitu, anajua mnayo yaficha na mnayo yadhihirisha. Na hapana chochote kinacho fichikana kwake cha siri yenu na jahari yenu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anapo soma, Shet'ani hutumbukiza katika masomo yake.
- Na ni nani mbora wa kusema kuliko aitaye kwa Mwenyezi Mungu na akatenda mema, na
- Humo wamo wanawake wema wazuri.
- Alipo wapa katika fadhila yake wakaifanyia ubakhili na wakageuka, na huku wakipuuza.
- Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
- Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti
- Yusuf! Ewe mkweli! Tueleze nini maana ya ng'ombe saba wanene kuliwa na ng'ombe saba walio
- Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
- Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Wallahi! Sisi tulituma Mitume kwa umati zilizo kuwa kabla yako, lakini Shetani aliwapambia vitendo vyao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers