Surah Al Qamar aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَّبَتْ عَادٌ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ﴾
[ القمر: 18]
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
'Aad denied; and how [severe] were My punishment and warning.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kina Adi walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
Kina Adi walimkadhibisha Mtume wao Hudi. Je, hali gani adhabu yangu na onyo langu lilikuwa kwa wendao kinyume!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari, ili kuwatishia maadui wa
- Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.
- Na chemchem mbili zinazo furika.
- Waambie Waumini wanaume wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao. Hili ni takaso bora kwao.
- Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
- Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka
- Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
- Ameuteremsha Roho muaminifu,
- Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
- Alif Lam Ra. (A. L. R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers