Surah Mulk aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mulk aya 2 in arabic text(The Dominion).
  
   

﴿الَّذِي خَلَقَ الْمَوْتَ وَالْحَيَاةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْغَفُورُ
[ الملك: 2]

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Surah Al-Mulk in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[He] who created death and life to test you [as to] which of you is best in deed - and He is the Exalted in Might, the Forgiving -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.


Ambaye ndiye aliye umba mauti na uhai kwa makusudio anayo yataka Yeye, ili akufanyieni mtihani ni yupi katika nyinyi anaye fanya vitendo sawa, na mwenye niya safi. Na Yeye ni Mwenye kushinda, wala hashindiki kwa kitu, Mwenye msamaha kwa wenye upungufu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Mulk


Ayats from Quran in Swahili

  1. Je! Afanyae ibada nyakati za usiku kwa kusujudu na kusimama akitahadhari na Akhera, na akitaraji
  2. Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
  3. Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake
  4. Na miji mingapi tuliiangamiza, ikaifikia adhabu yetu usiku au walipo kuwa wamelala adhuhuri.
  5. Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, aliye wafanya Malaika
  6. Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume
  7. Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka
  8. Enyi mlio amini! Msiingie nyumba za Nabii ila mpewe ruhusa kwenda kula, sio kungojea kiwive.
  9. Kwa hakika wale walio kufuru hazitowafaa kitu kwa Mwenyezi Mungu mali zao, wala watoto wao;
  10. Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Surah Mulk Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mulk Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mulk Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mulk Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mulk Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mulk Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mulk Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mulk Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mulk Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mulk Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mulk Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mulk Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mulk Al Hosary
Al Hosary
Surah Mulk Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mulk Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers