Surah Mulk aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mulk aya 2 in arabic text(The Dominion).
  
   

﴿الَّذِي خَلَقَ الْمَوْتَ وَالْحَيَاةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْغَفُورُ
[ الملك: 2]

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Surah Al-Mulk in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[He] who created death and life to test you [as to] which of you is best in deed - and He is the Exalted in Might, the Forgiving -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.


Ambaye ndiye aliye umba mauti na uhai kwa makusudio anayo yataka Yeye, ili akufanyieni mtihani ni yupi katika nyinyi anaye fanya vitendo sawa, na mwenye niya safi. Na Yeye ni Mwenye kushinda, wala hashindiki kwa kitu, Mwenye msamaha kwa wenye upungufu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Mulk


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnamzuilia aliye amini Njia ya Mwenyezi Mungu mkiitafutia
  2. Mwanaadamu hachoki kuomba dua za kheri, na inapo mpata shari, mara huvunjika moyo akakata tamaa.
  3. Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na piganeni Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa
  4. Sema: Siimilikii nafsi yangu manufaa wala madhara, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa ninayajua
  5. Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
  6. Hamkuwauwa nyinyi lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye wauwa. Na wewe hukutupa, walakini Mwenyezi Mungu ndiye
  7. Kadhaalika katika kila mji tumewajaalia wakubwa wa wakosefu wao wafanye vitimbi ndani yake. Na wala
  8. Wale ambao wanakungojeeni, mkipata ushindi unao toka kwa Mwenyezi Mungu wao husema: Si tulikuwa pamoja
  9. Na unaliona jua linapo chomoza linainamia kuliani mwao kutoka hapo pangoni; na linapo kuchwa linawakwepa
  10. Kwa maji hayo tukakufanyieni bustani za mitende na mizabibu, mnapata humo matunda mengi, na katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Surah Mulk Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mulk Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mulk Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mulk Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mulk Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mulk Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mulk Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Mulk Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mulk Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mulk Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mulk Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mulk Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mulk Al Hosary
Al Hosary
Surah Mulk Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mulk Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 19, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب