Surah Hijr aya 23 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّا لَنَحْنُ نُحْيِي وَنُمِيتُ وَنَحْنُ الْوَارِثُونَ﴾
[ الحجر: 23]
Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, it is We who give life and cause death, and We are the Inheritor.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
Na ni Sisi tu peke yetu ndio tunavipa vitu vyote uhai, kisha tunavipelekea mauti, kwani uumbaji wote ni wetu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
- Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
- Miji hiyo, tunakusimulia baadhi ya khabari zake. Na hapana shaka Mitume wao waliwafikia kwa hoja
- Bali hii ni Qur'ani tukufu
- Je! Sisi hatutakufa,
- Na wote watahudhuria mbele ya Mwenyezi Mungu. Wanyonge watawaambia walio takabari: Sisi tulikuwa wafwasi wenu;
- Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na
- Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
- Basi sisi hakika tutakueletea uchawi kama huo. Basi weka miadi baina yetu na wewe, ambayo
- Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers