Surah shura aya 39 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِينَ إِذَا أَصَابَهُمُ الْبَغْيُ هُمْ يَنتَصِرُونَ﴾
[ الشورى: 39]
Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
Surah Ash_shuraa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And those who, when tyranny strikes them, they defend themselves,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
Na wale ambao anapo wavamia mwenye kudhulumu wao wanajitetea nafsi zao kuupinga ule uvamizi wake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na zinazo farikisha zikatawanya!
- Hakika Sisi tutawapelekea ngamia jike ili kuwajaribu, basi watazame tu na ustahamili.
- Hapana wa kuizuia.
- Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.
- Na ambao wanatoa Zaka,
- Na wataambiwa walio mcha Mungu: Mola wenu Mlezi kateremsha nini? Watasema: Kheri. Walio fanya wema
- Basi msimpigie Mwenyezi Mungu mifano. Hakika Mwenyezi Mungu anajua, na nyinyi hamjui.
- Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
- Na wao wanapata kwao manufaa na vinywaji. Basi je, hawashukuru?
- Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



