Surah Sajdah aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sajdah aya 26 in arabic text(The Prostration).
  
   

﴿أَوَلَمْ يَهْدِ لَهُمْ كَمْ أَهْلَكْنَا مِن قَبْلِهِم مِّنَ الْقُرُونِ يَمْشُونَ فِي مَسَاكِنِهِمْ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ ۖ أَفَلَا يَسْمَعُونَ
[ السجدة: 26]

Je! Haijawabainikia kwamba kaumu ngapi tuliziangamiza kabla yao, nao wanapita katika maskani zao hizo? Hakika katika hayo zipo Ishara. Basi, je, hawasikii?

Surah As-Sajdah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Has it not become clear to them how many generations We destroyed before them, [as] they walk among their dwellings? Indeed in that are signs; then do they not hear?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Haijawabainikia kwamba kaumu ngapi tuliziangamiza kabla yao, nao wanapita katika maskani zao hizo? Hakika katika hayo zipo Ishara. Basi, je, hawasikii?


Je! Kwani Mwenyezi Mungu aliwaacha walio wakadhibisha Mitume wao, na hakuwabainishia kwamba Yeye aliwahilikisha wengi katika kaumu zilizo watangulia, na wao wanapita kwenye majumba yao, na wanatembea kwenye maskani zao? Hakika katika hayo pana mawaidha ya kuwaonyesha Haki. Wao wameingiwa na uziwi, hawasikii mawaidha haya.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 26 from Sajdah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
  2. Basi Mwenyezi Mungu akawaonjesha hizaya katika uhai wa duniani. Na bila ya shaka adhabu ya
  3. Hao ndio Mwenyezi Mungu amewalaani. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani basi hutamwona kuwa na mwenye
  4. Hakika wale wanao upotoa ukweli uliomo katika Ishara zetu hawatufichikii Sisi. Je! Atakaye tupwa Motoni
  5. Na jueni kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu yuko nanyi. Lau angeli kut'iini katika mambo mengi,
  6. Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru:
  7. Na sema: Tendeni vitendo. Na Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Waumini wataviona vitendo vyenu.
  8. Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
  9. Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
  10. Anaye samehe dhambi na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Surah Sajdah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sajdah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sajdah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sajdah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sajdah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sajdah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sajdah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sajdah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sajdah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sajdah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sajdah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sajdah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sajdah Al Hosary
Al Hosary
Surah Sajdah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sajdah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, August 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers