Surah Assaaffat aya 119 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ﴾
[ الصافات: 119]
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We left for them [favorable mention] among later generations:
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
Na tukabakisha sifa njema za kutajika wote wawili hao kwa watu wengineo walio kuja baada yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Leo tunaviziba vinywa vyao, na iseme nasi mikono yao, na itoe ushahidi miguu yao kwa
- Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao. Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka.
- Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
- Akasema: Enyi wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake cha enzi kabla hawajanijia
- Kiovu kweli walicho jiuzia nafsi zao, nacho ni kule kukataa kwao aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu,
- Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
- Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.
- Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
- Atasema: Je! Nyie mnawaona?
- Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



