Surah Insan aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ بُكْرَةً وَأَصِيلًا﴾
[ الإنسان: 25]
Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And mention the name of your Lord [in prayer] morning and evening
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
Na dumisha kumkumbuka na kumtaja Mola wako Mlezi, na sali alfajiri mapema, na adhuhuri, na alasiri jioni,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio makafiri watenda maovu.
- Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Na mwanamke akichelea kutupwa au kutojaliwa na mumewe, basi si vibaya kwao wakisikizana kwa suluhu.
- Siku watakayo waona Malaika haitakuwa furaha siku hiyo kwa wakosefu. Na watasema: Mungu apishe mbali!
- Na ikiteremka Sura hutazamana wao kwa wao, (kama kwamba wanasema:) Je! Yuko mtu anakuoneni? Kisha
- Sema: Ni nani wa kukulindeni na Mwenyezi Mungu pindi akikutakieni uovu, au akikutakieni rehema? Wala
- Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
- Na huku mkitakabari na usiku mkiizungumza (Qur'ani) kwa dharau.
- Na tunawajua walio tangulia katika nyinyi, na tunawajua walio taakhari.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



