Surah Al-Haqqah aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ﴾
[ الحاقة: 27]
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
I wish my death had been the decisive one.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Laiti kuwa kule kufa niliko kwisha kufa kungeli kuwa ndio kumalizika kwangu kwa mwisho, wala nisingeli fufuliwa tena!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
- Humo wamo wanawake wema wazuri.
- Na itapo simama Saa wakosefu watakata tamaa.
- Na siku zitapo funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe Malaika kwa wingi,
- Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
- Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
- Kiovu kweli walicho jiuzia nafsi zao, nacho ni kule kukataa kwao aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu,
- Mkidhihirisha chochote kile, au mkikificha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.
- Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
- Hakika Sisi tulimtuma Nuh'u kwa watu wake: Uwaonye kaumu yako kabla ya kuwafikia adhabu chungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers