Surah Al-Haqqah aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ﴾
[ الحاقة: 27]
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
I wish my death had been the decisive one.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Laiti kuwa kule kufa niliko kwisha kufa kungeli kuwa ndio kumalizika kwangu kwa mwisho, wala nisingeli fufuliwa tena!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukampa huruma itokayo kwetu, na utakaso, na akawa mchamungu.
- Basi anapo wapa mwana mwema, wanamfanyia washirikina Mwenyezi Mungu katika kile kile alicho wapa. Mwenyezi
- Hakika mtu ameumbwa na papara.
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya
- Basi ni nani aliye dhaalimu zaidi kuliko yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu na akazikanusha
- Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
- Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
- Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu
- Naye ndiye anaye iteremsha mvua baada ya wao kwisha kata tamaa, na hueneza rehema yake.
- Na walipo ingia kama alivyo waamrisha baba yao, haikuwafaa kitu kwa Mwenyezi Mungu, isipo kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers