Surah Zukhruf aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا جَعَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ﴾
[ الزخرف: 3]
Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, We have made it an Arabic Qur'an that you might understand.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Sisi tumeifanya Qurani kwa Kiarabu ili mfahamu.
Hakika Sisi tumeijaalia Qurani iwe kwa lugha ya Kiarabu, ili mweze kuelewa umuujiza wake, na mweze kuzingatia maana zake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Ewe Musa! Je! Utatupa wewe, au tutakuwa sisi wa kwanza kutupa?
- Mfano wa walio wafanya walinzi badala ya Mwenyezi Mungu, ni mfano wa buibui alivyo jitandia
- Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
- Wapewe mafakiri Wahajiri walio tolewa majumbani mwao na mali yao kwa ajili ya kutafuta fadhila
- Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
- Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi mnajua.
- Na ilipo waangukia adhabu wakasema: Ewe Musa! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa aliyo kuahidi.
- Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
- Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
- Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers