Surah Yasin aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yasin aya 52 in arabic text(yaseen).
  
   
ayat 52 from Surah Ya-Sin

﴿قَالُوا يَا وَيْلَنَا مَن بَعَثَنَا مِن مَّرْقَدِنَا ۜ ۗ هَٰذَا مَا وَعَدَ الرَّحْمَٰنُ وَصَدَقَ الْمُرْسَلُونَ
[ يس: 52]

Watasema: Ole wetu! Nani aliye tufufua kwenye malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa Rehema na wakasema kweli Mitume.

Surah Ya-Sin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They will say, "O woe to us! Who has raised us up from our sleeping place?" [The reply will be], "This is what the Most Merciful had promised, and the messengers told the truth."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Watasema: Ole wetu! Nani aliye tufufua kwenye malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa Rehema na wakasema kweli Mitume.


Watasema watakao fufuliwa kutoka makaburini: Balaa gani lilio tushukia! Nani aliye tuamsha tukauwacha usingizi wetu? Jawabu ya suala lao itawajia: Hii ndiyo siku ya kufufuliwa aliyo waahidia Arrahaman, Mwingi wa Rehema, waja wake, na Mitume wakaisemea kweli kwa waliyo yasimulia.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 52 from Yasin


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa yakini umekuwa mfano mzuri kwenu katika mwendo wao, kwa anaye mtarajia Mwenyezi Mungu na
  2. Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
  3. Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu.
  4. Basi anapo wapa mwana mwema, wanamfanyia washirikina Mwenyezi Mungu katika kile kile alicho wapa. Mwenyezi
  5. Na kivuli cha moshi mweusi,
  6. Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majaraha - kwa walio
  7. Na Yeye ndiye aliye kuzalisheni kutokana na nafsi moja. Pako pahali pa kutulia na pa
  8. Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika
  9. Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
  10. Hawazibishi Ishara za Mwenyezi Mungu ila walio kufuru; basi kusikughuri wewe kutanga tanga kwao katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Surah Yasin Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yasin Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yasin Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yasin Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yasin Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yasin Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yasin Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yasin Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yasin Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yasin Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yasin Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yasin Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yasin Al Hosary
Al Hosary
Surah Yasin Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yasin Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, December 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers