Surah An Naba aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿جَزَاءً مِّن رَّبِّكَ عَطَاءً حِسَابًا﴾
[ النبأ: 36]
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[As] reward from your Lord, [a generous] gift [made due by] account,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
Ni malipo kutokana na Mola wako Mlezi, kwa fadhila yake na ihsani ya kutosha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Utawaona wengi wao wanafanya urafiki na walio kufuru. Hakika ni maovu yaliyo tangulizwa na nafsi
- Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale
- Kila mtu analo kundi la malaika mbele yake na nyuma yake linamlinda kwa amri ya
- Atauingia Moto wenye mwako.
- Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi!
- Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.
- Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa!
- Basi akatoka, naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Akasema: Mola wangu Mlezi! Niokoe na
- Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
- Na nyinyi si wenye kushinda katika ardhi wala katika mbingu. Wala nyinyi hamna mlinzi wala
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers