Surah An Naba aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿جَزَاءً مِّن رَّبِّكَ عَطَاءً حِسَابًا﴾
[ النبأ: 36]
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[As] reward from your Lord, [a generous] gift [made due by] account,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
Ni malipo kutokana na Mola wako Mlezi, kwa fadhila yake na ihsani ya kutosha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika, au awafikie Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara
- Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi?
- Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.
- Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
- Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
- Je! Wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe?
- Ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Ametukuka na wanayo shirikisha.
- Sema: Je! Mwaonaje zile riziki alizo kuteremshieni Mwenyezi Mungu, nanyi mkafanya katika hizo nyengine haramu
- Hakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, hawataamini,
- Bali Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wenu, naye ndiye bora wa wasaidizi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



