Surah Hajj aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِن جَادَلُوكَ فَقُلِ اللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا تَعْمَلُونَ﴾
[ الحج: 68]
Na wakikujadili basi sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi mnayo yatenda.
Surah Al-Hajj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And if they dispute with you, then say, "Allah is most knowing of what you do.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakikujadili basi sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi mnayo yatenda.
Na wakishikilia kuendea kukujadili basi waachilie mbali, na waambie: Mwenyezi Mungu anajua zaidi vitendo vyenu, na malipo mnayo yastahiki.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kulinda na kila shet'ani a'si.
- Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa.
- Mwanaadamu hachoki kuomba dua za kheri, na inapo mpata shari, mara huvunjika moyo akakata tamaa.
- Ndio hivyo iwe! Na anaye vitukuza vitakatifu vya Mwenyezi Mungu basi hayo ndiyo kheri yake
- Watasema: Kwani! Ametujia mwonyaji, lakini tulimkadhibisha, na tukasema: Mwenyezi Mungu hakuteremsha chochote. Nyinyi hamumo ila
- Sema: Mola Mlezi wangu ameharimisha mambo machafu ya dhaahiri na ya siri, na dhambi, na
- Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
- Lau kuwa tumeiteremsha hii Qur'ani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea,
- Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
- Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



