Surah Ad Dukhaan aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ad Dukhaan aya 37 in arabic text(The Smoke).
  
   

﴿أَهُمْ خَيْرٌ أَمْ قَوْمُ تُبَّعٍ وَالَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ أَهْلَكْنَاهُمْ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا مُجْرِمِينَ
[ الدخان: 37]

Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.

Surah Ad-Dukhaan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Are they better or the people of Tubba' and those before them? We destroyed them, [for] indeed, they were criminals.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.


Je! Makafiri wa Makka wanawashinda kaumu ya Tubbaa na walio watangulia kwa nguvu, na ulinzi, na utawala, na mambo yote ya kidunia? Ewe Muhammad! Hao washirikina wa kaumu yako hawawashindi hao kwa nguvu, na hao Sisi tuliwateketeza katika dunia kwa ukafiri wao na madhambi yao. Basi nawawazingatie!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 37 from Ad Dukhaan


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Tukamwambia:) Tengeneza nguo za chuma pana, na kadiria sawa katika kuunganisha. Na tendeni mema. Hakika
  2. Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
  3. Na Thamudi hakuwabakisha,
  4. Hawa watu wetu wameshika miungu mingine badala yake Yeye. Kwa nini basi hawawatolei uthibitisho ulio
  5. Watadumu humo milele. Hakika kwa Mwenyezi Mungu yapo malipo makubwa.
  6. Muabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na
  7. Na walikuja wenye kutoa udhuru katika Mabedui ili wapewe ruhusa, na wakakaa wale walio mwambia
  8. Na kaumu ngapi tuliziangamiza zilizo kuwa na mapambo mazuri zaidi na wazuri zaidi kwa kuwatazama!
  9. Hakika Mwenyezi Mungu kakupeni Sharia ya kufungua viapo vyenu, na Mwenyezi Mungu ni Mola wenu.
  10. Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Surah Ad Dukhaan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ad Dukhaan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ad Dukhaan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ad Dukhaan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ad Dukhaan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ad Dukhaan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ad Dukhaan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ad Dukhaan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ad Dukhaan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ad Dukhaan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ad Dukhaan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ad Dukhaan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ad Dukhaan Al Hosary
Al Hosary
Surah Ad Dukhaan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ad Dukhaan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, October 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers