Surah Qalam aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴾
[ القلم: 45]
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I will give them time. Indeed, My plan is firm.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
Na nitawapa muhula kwa kuiakharisha adhabu. Hakika mipango yangu ni ya nguvu, na hawezi kuporonyoka yeyote akasalimika nayo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Mwenyezi Mungu anakuonyeni msirejee tena kufanya kama haya kabisa, ikiwa nyinyi ni Waumini!
- Haya ni kwa ajili awakate sehemu katika walio kufuru, au awahizi wapate kurejea nyuma nao
- Msiombe kufa mara moja tu, bali mfe mara nyingi!
- Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Na hawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyo
- Siku hiyo Mwenyezi Mungu atawapa sawa sawa malipo yao ya haki, na watajua kwamba hakika
- Kumkomboa mtumwa;
- Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu,
- Hakika wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hao ndio miongoni mwa madhalili wa mwisho.
- Na haiwafikii hata ishara moja katika ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa wenye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers