Surah Qalam aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴾
[ القلم: 45]
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I will give them time. Indeed, My plan is firm.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
Na nitawapa muhula kwa kuiakharisha adhabu. Hakika mipango yangu ni ya nguvu, na hawezi kuporonyoka yeyote akasalimika nayo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni
- Na siku itapo simama Saa, siku hiyo watagawanyika.
- Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
- Ndiye anaye pambazua mwangaza wa asubuhi; na ameufanya usiku kwa mapumziko na utulivu, na jua
- Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
- Hao ni wasikilizaji kwa ajili ya kusema uwongo, na ni walaji mno vya haramu! Basi
- Na walipanga walio kuwa kabla yao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye mipango yote. Yeye anajua
- Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
- Zitacheka, zitachangamka;
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



