Surah Muminun aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَىٰ فِرْعَوْنَ وَمَلَئِهِ فَاسْتَكْبَرُوا وَكَانُوا قَوْمًا عَالِينَ﴾
[ المؤمنون: 46]
Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
To Pharaoh and his establishment, but they were arrogant and were a haughty people.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.
Tuliwatuma wawili hao kwa Firauni na kaumu yake. Wakakataa kuamini kwa ajili ya takaburi, na wao ni watu walio kuwa wakisifika kwa kiburi, na majivuno, na ujeuri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa hakika tulimpa Musa uwongofu, na tukawarithisha Wana wa Israili Kitabu,
- Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
- Kisha Mwenyezi Mungu akateremsha utulivu wake juu ya Mtume wake na juu ya Waumini. Na
- Na wanapo somewa Aya zetu, wao husema: Tumesikia. Na lau tungeli penda tunge sema kama
- Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
- Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
- Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
- Wanaonyeshwa Moto asubuhi na jioni. Na itapo fika Saa ya Kiyama patasemwa: Waingizeni watu wa
- Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
- Zipo nyuso siku hiyo zitao ng'ara,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers