Surah shura aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah shura aya 36 in arabic text(The Consultation).
  
   

﴿فَمَا أُوتِيتُم مِّن شَيْءٍ فَمَتَاعُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ وَمَا عِندَ اللَّهِ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰ لِلَّذِينَ آمَنُوا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ
[ الشورى: 36]

Basi vyote mlivyo pewa ni starehe ya maisha ya dunia tu, lakini kilichoko kwa Mwenyezi Mungu ni bora, na cha kudumu kwa ajili ya walio amini, na wakawa wanamtegemea Mola wao Mlezi,

Surah Ash_shuraa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So whatever thing you have been given - it is but [for] enjoyment of the worldly life. But what is with Allah is better and more lasting for those who have believed and upon their Lord rely


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi vyote mlivyo pewa ni starehe ya maisha ya dunia tu, lakini kilichoko kwa Mwenyezi Mungu ni bora, na cha kudumu kwa ajili ya walio amini, na wakawa wanamtegemea Mola wao Mlezi,


Msidanganyike na starehe za dunia. Kwani enyi watu! Yote mliyo pewa, mali, wana, na vyenginevyo, ni starehe zenu za maisha ya duniani. Na aliyo yaandaa Mwenyezi Mungu katika neema za Peponi ni bora na zinadumu zaidi kwa wenye kuamini, na kumtegemea Muumba wao na Mlezi wao wa pekee;

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 36 from shura


Ayats from Quran in Swahili

  1. Yusuf akasema: Nifanye mshika khazina za nchi. Kwani hakika mimi ni mlinzi mjuzi.
  2. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa
  3. Basi tukamsamehe kwa hayo. Naye kwa hakika anao mkaribisho mkubwa na marejeo mazuri kwetu.
  4. Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
  5. Isipo kuwa washirikina ambao mliahidiana nao kisha wasikupunguzieni chochote, wala hawakumsaidia yeyote dhidi yenu, basi
  6. Na mtakapo wapa wanawake t'alaka nao wakamaliza eda yao, basi msiwazuie kuolewa na waume zao
  7. Na Yeye ndiye Mungu mbinguni, na ndiye Mungu katika ardhi. Naye ndiye Mwenye hikima, Mwenye
  8. Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
  9. Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.
  10. Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Surah shura Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah shura Bandar Balila
Bandar Balila
Surah shura Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah shura Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah shura Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah shura Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah shura Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah shura Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah shura Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah shura Fares Abbad
Fares Abbad
Surah shura Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah shura Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah shura Al Hosary
Al Hosary
Surah shura Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah shura Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers