Surah Al-Haqqah aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ﴾
[ الحاقة: 50]
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, it will be [a cause of] regret upon the disbelievers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
Na kwamba hakika hiyo bila ya shaka ni sababu ya majuto ya wanao ikataa, wakati watapo iona adhabu yao, na neema za wenye kusadiki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mola wetu Mlezi! Tumeyaamini uliyo yateremsha, na tumemfuata huyu Mtume, basi tuandike pamoja na wanao
- Na ama walio amini na wakatenda mema atawalipa ujira wao sawa sawa, na atawazidishia kwa
- Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na
- Hakika wale walio amini na wale walio hama na wakapigania Njia ya Mwenyezi Mungu, hao
- Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
- Akasema Firauni: Mmemuamini kabla sijakupeni idhini? Hizi ni njama mlizo panga mjini mpate kuwatoa wenyewe.
- Wanayo adhabu katika maisha ya dunia, na adhabu ya Akhera hapana shaka ina mashaka zaidi.
- Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
- Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka malipo yatokayo kwa Mwenyezi Mungu yange
- Na kwa hakika yeye ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers