Surah Saba aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saba aya 51 in arabic text(Sheba).
  
   
ayat 51 from Surah Saba

﴿وَلَوْ تَرَىٰ إِذْ فَزِعُوا فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ﴾
[ سبأ: 51]

Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.

Surah Saba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if you could see when they are terrified but there is no escape, and they will be seized from a place nearby.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.


Na lau kuwa utaona, ewe mwenye kuona, pale watapo fazaika makafiri kweli itapo dhihiri, basi hawatakuwa na pa kukimbilia. Na watachukuliwa wapelekwe kwenye Moto kutoka pahala karibu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 51 from Saba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika aliye kulazimisha kuifuata Qur'ani hapana shaka atakurudisha pahala pa marejeo. Sema: Mola wangu Mlezi
  2. Watanong'onezana wao kwa wao: Hamkukaa ila siku kumi tu.
  3. Na utawaona wanapelekwa kwenye Moto, nao wamenyenyekea kwa unyonge, wanatazama kwa mtazamo wa kificho. Na
  4. Haikufunuliwa kwangu isipo kuwa ya kwamba hakika mimi ni mwonyaji dhaahiri.
  5. Yatawekwa juu yao mat'abaka ya moto, na chini yao mat'abaka. Kwa hayo Mwenyezi Mungu anawakhofisha
  6. Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
  7. Na walio pewa ilimu na Imani watasema: Hakika nyinyi mlikwisha kaa katika hukumu ya Mwenyezi
  8. Enyi Wana wa Israili! Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa
  9. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
  10. Mkisha sali basi mkumbukeni Mwenyezi Mungu mkisimama, na mkikaa, na mnapo jinyoosha kwa kulala. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Surah Saba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saba Al Hosary
Al Hosary
Surah Saba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, July 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers