Surah Anbiya aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَمَّا أَحَسُّوا بَأْسَنَا إِذَا هُم مِّنْهَا يَرْكُضُونَ﴾
[ الأنبياء: 12]
Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when its inhabitants perceived Our punishment, at once they fled from it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
Na tulipo taka kuwateketeza, na wakahisi ukali wa adhabu yetu na uwezo wetu wa kuwateremshia hayo yatakayo wapata, wakafanya haraka kukimbia, kama wanyama hayawani, ati kutafuta kuokoka!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama wao wamo katika shaka ya kukutana na Mola wao Mlezi! Ama hakika Yeye amekizunguka
- Na tunaweka vifuniko juu ya nyoyo zao wasije wakaifahamu, na tunaweka kwenye masikio yao uziwi.
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- Wakasema: Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo yake. Hivi ndivyo
- Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
- Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
- Na kwa kina Thamud tulimtuma ndugu yao Saleh kuwaambia: Muabuduni Mwenyezi Mungu. Basi wakawa makundi
- Ndio hivyo! Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, basi hayo ni katika unyenyekevu wa nyoyo.
- Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
- Walio kufuru watakuwa na adhabu kali; na walio amini na wakatenda mema watapata msamaha na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers