Surah Yasin aya 75 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا يَسْتَطِيعُونَ نَصْرَهُمْ وَهُمْ لَهُمْ جُندٌ مُّحْضَرُونَ﴾
[ يس: 75]
Hawataweza kuwasaidia. Bali hao ndio watakuwa askari wao watakao hudhurishwa.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They are not able to help them, and they [themselves] are for them soldiers in attendance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawataweza kuwasaidia. Bali hao ndio watakuwa askari wao watakao hudhurishwa.
Hiyo miungu ya uwongo haiwezi kuwasaidia kwa lolote Mwenyezi Mungu akiwatakia madhara. Kwani miungu hiyo haiwezi kunafiisha wala kudhuru. Bali wao kwa hiyo miungu isiyo weza kitu, ni kama askari walio tayarishwa kwa ajili ya kuwakhudumia na wa kuwalinda na madhara.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na anaye tenda uovu au akajidhulumu nafsi yake, kisha akaomba maghfira kwa Mwenyezi Mungu, atamkuta
- Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
- Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
- Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
- Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
- Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
- Mwenye kujua siri na dhaahiri, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
- Fungu kubwa katika wa mwanzo,
- Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola
- Mwenyezi Mungu hufuta na huthibitisha ayatakayo. Na asili ya hukumu zote iko kwake.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers