Surah Mulk aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mulk aya 8 in arabic text(The Dominion).
  
   

﴿تَكَادُ تَمَيَّزُ مِنَ الْغَيْظِ ۖ كُلَّمَا أُلْقِيَ فِيهَا فَوْجٌ سَأَلَهُمْ خَزَنَتُهَا أَلَمْ يَأْتِكُمْ نَذِيرٌ
[ الملك: 8]

Inakaribia kupasuka kwa hasira. Kila mara likitupwa kundi humo walinzi wake huwauliza: Kwani hakukujieni mwonyaji?

Surah Al-Mulk in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It almost bursts with rage. Every time a company is thrown into it, its keepers ask them, "Did there not come to you a warner?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Inakaribia kupasuka kwa hasira. Kila mara likitupwa kundi humo walinzi wake huwauliza: Kwani hakukujieni mwonyaji?


Unakaribia kukatika na kutawanyika kwa wingi wa kuwaghadhibikia. Kila likitumbukizwa kundi mojapo kati yao walinzi wake huwauliza kwa kuwakejeli: Kwani hakukujieni Mtume kukuhadharisheni na mkutano wa siku hii ya leo?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Mulk


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa hivyo Mwenyezi Mungu anawaadhibu wanaafiki wanaume, na wanaafiki wanawake, na washirikina wanaume, na washirikina
  2. Wala usiwahuzunukie wala usiwe katika dhiki kwa sababu ya hila zao wanazo zifanya.
  3. Basi mpe jamaa haki yake, na masikini, na msafiri. Hayo ni kheri kwa watakao radhi
  4. Na akiambiwa: Mwogope Mwenyezi Mungu, hupandwa na mori wa kutenda madhambi. Basi huyo inamtosha Jahannam.
  5. Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
  6. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi, Muumba wa kila kitu. Hapana mungu ila Yeye;
  7. Na Pepo ikasogezwa,
  8. Ili msihuzunike kwa kilicho kupoteeni, wala msijitape kwa alicho kupeni. Na Mwenyezi Mungu hampendi kila
  9. Sema: Nyinyi hamtaulizwa kwa makosa tuliyo yafanya, wala sisi hatutaulizwa kwa mnayo yatenda nyinyi.
  10. Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Surah Mulk Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mulk Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mulk Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mulk Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mulk Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mulk Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mulk Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Mulk Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mulk Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mulk Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mulk Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mulk Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mulk Al Hosary
Al Hosary
Surah Mulk Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mulk Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 19, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب