Surah zariyat aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُّخْتَلِفٍ﴾
[ الذاريات: 8]
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, you are in differing speech.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
Kwamba nyinyi msemapo mnayo yasema ni maneno ya kugongana.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
- Kisha wakarejea kwenye ule ule upotovu wao wakasema: Wewe unajua kwamba hawa hawesemi.
- Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
- Lakini Mtume na wale walio amini pamoja naye waliwania Jihadi kwa mali zao na nafsi
- Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.
- Ewe baba yangu! Usimuabudu Shet'ani. Hakika Shet'ani ni mwenye kumuasi Mwingi wa Rehema.
- Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
- Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
- Akitaka, huutuliza upepo navyo hivyo vyombo husimama tutwe juu ya bahari. Hakika katika hayo zipo
- Bali Mwenyezi Mungu alim- tukuza kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers