Surah Shuara aya 212 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ﴾
[ الشعراء: 212]
Hakika hao wametengwa na kusikia.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed they, from [its] hearing, are removed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hao wametengwa na kusikia.
Kwani hao hakika wanazuiwa wasiisikie Qurani pale inapo funuliwa kwa Muhammad s.a.w.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi kwa sababu ya kuvunja agano lao tuliwalaani, na tukazifanya nyoyo zao kuwa ngumu. Wanayabadilisha
- Na Luqman alipo mwambia mwanawe kwa kumpa mawaidha: Ewe mwanangu! Usimshirikishe Mwenyezi Mungu. Kwani hakika
- Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na
- Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Sema: Ni ya nani ardhi na viliomo ndani yake, kama nyinyi mnajua?
- Na kwa Thamud tulimpeleka ndugu yao, Saleh. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi
- Sikuwa na ilimu ya mambo ya viumbe wakuu watukufu walipo kuwa wakishindana.
- Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
- Lakini mlidhani kwamba Mtume na Waumini hawatarudi kabisa kwa ahali zao, na mkapambiwa hayo katika
- Hakika wale walio rudi nyuma miongoni mwenu siku yalipo pambana majeshi mawili, Shet'ani ndiye aliye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers