Surah Hud aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 9 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 9 from Surah Hud

﴿وَلَئِنْ أَذَقْنَا الْإِنسَانَ مِنَّا رَحْمَةً ثُمَّ نَزَعْنَاهَا مِنْهُ إِنَّهُ لَيَئُوسٌ كَفُورٌ﴾
[ هود: 9]

Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if We give man a taste of mercy from Us and then We withdraw it from him, indeed, he is despairing and ungrateful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.


Na katika tabia za binaadamu ni kujizamisha mwenyewe katika hali aliyo nayo. Basi tukimpa baadhi ya neema na rehema, kama vile afya nzuri, na ukunjufu wa riziki, kisha baadae tukamwondolea neema hizo, kwa mujibu wa mipango yetu, yeye hupita mipaka katika kukata tamaa kuwa neema hiyo haitorudi tena; na akapita mipaka katika kuzikufuru neema nyengine ambazo bado angali anastarehe nazo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Hud


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
    Surah Hud Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Hud Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Hud Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Hud Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Hud Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Hud Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Hud Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Hud Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Hud Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Hud Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Hud Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Hud Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers