Surah Assaaffat aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ﴾
[ الصافات: 9]
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Repelled; and for them is a constant punishment,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
Hufukuzwa hao kwa nguvu wasifikilie kuweza kusikiliza khabari za mbinguni. Na Akhera watapata adhabu kali ya kudumu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
- Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
- Walio kufuru wanadai kuwa hawatafufuliwa. Sema: Kwani? Naapa kwa Mola wangu Mlezi! Hapana shaka mtafufuliwa,
- Basi wakigeuka, wewe sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza. Hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mimi namtegemea Yeye,
- Hawakuamini kabla yao watu wa mji tulio uangamiza. Basi, je, wataamini hawa?
- Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa.
- Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
- Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu
- Yeye ndiye Mwenye kujua yanayo onekana na yasio onekana; Mkuu Aliye tukuka.
- Nao wakamwacha, wakampa kisogo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



