Surah Assaaffat aya 95 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ﴾
[ الصافات: 95]
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Do you worship that which you [yourselves] carve,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe
Ibrahim akawaambia kwa kuwahizi: Hivyo nyinyi mnaabudu mawe mliyo yachonga nyinyi wenyewe kwa mikono yenu? Akili zenu zimekwenda wapi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
- Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
- Akasema Firauni: Mmemuamini kabla sijakupeni idhini? Hizi ni njama mlizo panga mjini mpate kuwatoa wenyewe.
- Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio
- Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
- Wala usiwat'ii makafiri na wanaafiki, na usijali udhia wao. Nawe mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi
- Na mkilipiza basi lipizeni sawa na vile mlivyo adhibiwa. Na ikiwa mtasubiri, basi hakika hivyo
- Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
- Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
- Kwa hakika minong'ono hiyo inatokana na Shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru chochote
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers