Surah Assaaffat aya 95 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ﴾
[ الصافات: 95]
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Do you worship that which you [yourselves] carve,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe
Ibrahim akawaambia kwa kuwahizi: Hivyo nyinyi mnaabudu mawe mliyo yachonga nyinyi wenyewe kwa mikono yenu? Akili zenu zimekwenda wapi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa hana wa kumpotoa. Je! Mwenyezi Mungu si Mwenye nguvu anaye
- Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
- Nasi tutawaita Mazabania!
- Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
- Na kila kilichomo mbinguni na kilichomo ardhini ni cha Mwenyezi Mungu; na mambo yote yatarejea
- Na hiki Kitabu, tumekuteremshia wewe, kimebarikiwa, ili wazizingatie Aya zake, na wawaidhike wenye akili.
- Litakapo tukia hilo Tukio
- Wanakuuliza wamehalalishiwa nini? Sema: Mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na mlicho wafundisha wanyama kukiwinda. Mnawafundisha alivyo
- Na akakukuta umepotea akakuongoa?
- Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers