Surah Shuara aya 106 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ نُوحٌ أَلَا تَتَّقُونَ﴾
[ الشعراء: 106]
Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When their brother Noah said to them, "Will you not fear Allah?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?.
Waliukanusha Utume huu pale alipo waambia ndugu yao Nuhu - ndugu kwa makhusiano ya nasaba si kwa Dini - akiwahadharisha: Hamumchi Mwenyezi Mungu, mkaacha kuabudu wenginewe?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ambao wanafanya ubakhili na wanaamrisha watu ubakhili, na wanaficha fadhila alizo wapa Mwenyezi Mungu. Na
- Je! Mmemuona Lata na Uzza?
- Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
- "Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
- Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na walio wema miongoni mwa baba zao, na
- Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
- Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii.
- Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
- Kisha tumewarithisha Kitabu hao ambao tuliwateuwa miongoni mwa waja wetu. Kati yao yupo aliye jidhulumu
- Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



