Surah Insan aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۖ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْسًا وَلَا زَمْهَرِيرًا﴾
[ الإنسان: 13]
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[They will be] reclining therein on adorned couches. They will not see therein any [burning] sun or [freezing] cold.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
Wakiegemea huko Peponi juu ya makochi, hawaoni joto la jua, wala shida ya baridi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa
- Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
- Wala msijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa njia iliyo nzuri kabisa, isipo kuwa wale
- Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi ndio marejeo.
- Wana choyo juu yenu. Ikifika khofu utawaona wanakutazama na macho yao yanazunguka, kama yule ambaye
- Mitume wao wakasema: Ati pana shaka na Mwenyezi Mungu, Muumba mbingu na ardhi? Yeye anakuiteni
- Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.
- Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers