Surah Insan aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۖ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْسًا وَلَا زَمْهَرِيرًا﴾
[ الإنسان: 13]
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[They will be] reclining therein on adorned couches. They will not see therein any [burning] sun or [freezing] cold.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
Wakiegemea huko Peponi juu ya makochi, hawaoni joto la jua, wala shida ya baridi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kuwapa nguvu katika nchi, na kutokana na wao kuwaonyesha kina Firauni na Hamana na
- Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa
- Isije ikasema nafsi: Ee majuto yangu kwa yale niliyo poteza upande wa Mwenyezi Mungu, na
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
- Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenye rangi
- Na tumemuusia mwanaadamu kuwafanyia wema wazazi wake. Na ikiwa watakushikilia unishirikishe Mimi na usiyo kuwa
- Hawakuamini kabla yao watu wa mji tulio uangamiza. Basi, je, wataamini hawa?
- Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



