Surah Muminun aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ جَعَلْنَاهُ نُطْفَةً فِي قَرَارٍ مَّكِينٍ﴾
[ المؤمنون: 13]
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
Kisha tukaumba vizazi vyake, navyo ni kuwa tulimfanya mtu kwanza tone ya mbegu ya uzazi - yaani maji yenye kila sifa ya uhai wa mwanzo. Tukaiweka kwenye tumbo la uzazi, napo ni pahala pa utulivu palipo lindwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anajua viliomo katika mbingu na ardhi, na anajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. Na Mwenyezi
- Hakika wale walio nunua ukafiri kwa Imani hawatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu, na yao wao ni
- Basi alipoona mikono yao haimfikilii aliwatilia shaka, na akawaogopa. Wakasema: Usiogope! Hakika sisi tumetumwa kwa
- Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
- Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
- Siku hiyo ziko nyuso zitazo nawiri,
- Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri na adhuhuri.
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
- Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers