Surah Inshiqaq aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ كَانَ فِي أَهْلِهِ مَسْرُورًا﴾
[ الانشقاق: 13]
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
Surah Al-Inshiqaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, he had [once] been among his people in happiness;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
Kwani huyo hakika duniani alikuwa furahani kati ya jamaa zake akitanaamu na pumbao alilo kuwa nalo hata akapuuza amali ya kuitenda kwa mustakabali wake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
- Akapambazukiwa mjini asubuhi naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Mara yule yule aliye mtaka
- Basi usiwat'ii makafiri. Na pambana nao kwayo kwa Jihadi kubwa.
- Ulipo waambia Waumini: Je, haitakutosheni ikiwa Mola wenu atakusaidieni kwa Malaika elfu tatu walio teremshwa?
- Pindi wakitolewa hawatatoka pamoja nao, na wakipigwa vita hawatawasaidia. Na kama wakiwasaidia basi watageuza migongo;
- Mwenyezi Mungu! Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Yeye ana majina mazuri kabisa.
- Hawamtangulii kwa neno, nao wanafanya amri zake.
- Kisha tukaleta baada yao vizazi vingine.
- Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha.
- Je! Hawajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anapokea toba ya waja wake, na anazikubali sadaka, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Inshiqaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Inshiqaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Inshiqaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



