Surah Inshiqaq aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ كَانَ فِي أَهْلِهِ مَسْرُورًا﴾
[ الانشقاق: 13]
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
Surah Al-Inshiqaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, he had [once] been among his people in happiness;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
Kwani huyo hakika duniani alikuwa furahani kati ya jamaa zake akitanaamu na pumbao alilo kuwa nalo hata akapuuza amali ya kuitenda kwa mustakabali wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Enyi makafiri!
- Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
- Hayo ni malipo yao kwa sababu walizikataa ishara zetu, na wakasema: Hivyo tukisha kuwa mifupa
- Watanong'onezana wao kwa wao: Hamkukaa ila siku kumi tu.
- Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
- Naye ndiye aliye fanya usiku na mchana kufuatana kwa nafuu ya anaye taka kukumbuka, au
- Sema: Uombezi wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Ni wake Yeye tu ufalme wa mbingu na
- Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza kuyakabili. Na hakika tutawatoa humo
- Hayo ni kwa sababu wameyapenda zaidi maisha ya duniani kuliko ya Akhera, na kwa sababu
- Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Inshiqaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Inshiqaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Inshiqaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers