Surah Shams aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shams aya 13 in arabic text(The Sun).
  
   

﴿فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا﴾
[ الشمس: 13]

Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.

Surah Ash-Shams in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And the messenger of Allah [Salih] said to them, "[Do not harm] the she-camel of Allah or [prevent her from] her drink."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.


Saleh, Mtume wa Mwenyezi Mungu, akawaambia: Mwachilieni huyu ngamia wa Mwenyezi Mungu ale maridhawa katika ardhi ya Mwenyezi Mungu, na tahadharini msimzuie maji katika siku yake aliyo wekewa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 13 from Shams


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi mlio amini! Akikujieni mpotovu na khabari yoyote, ichunguzeni, msije mkawasibu watu kwa kuto jua,
  2. Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele.
  3. Na katika wao wapo wanao sema: Mola wetu Mlezi, tupe duniani mema, na Akhera mema,
  4. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu
  5. Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
  6. Kwani wanangojea jengine isipo kuwa iwafikie Saa (ya Kiyama) kwa ghafla? Na hakika alama zake
  7. Na kwa yakini tuliwapa Musa na Haaruni kipambanuzi, na mwangaza, na makumbusho kwa wachamngu,
  8. Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
  9. Lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake.
  10. Hii ni bayana kwa watu wote, na ni uwongofu, na mawaidha kwa wachamngu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Surah Shams Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shams Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shams Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shams Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shams Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shams Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shams Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shams Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shams Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shams Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shams Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shams Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shams Al Hosary
Al Hosary
Surah Shams Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shams Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, January 16, 2026

Please remember us in your sincere prayers