Surah Qiyamah aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا أُقْسِمُ بِالنَّفْسِ اللَّوَّامَةِ﴾
[ القيامة: 2]
Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I swear by the reproaching soul [to the certainty of resurrection].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
Na ninaapa na natilia mkazo kiapo hichi kwa nafsi inayo mlaumu mtu kwa dhambi zake na upungufu wake, ya kwamba bila ya shaka yoyote mtafufuliwa baada ya kukusanywa mafupa yenu yaliyo tawanyika.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
- Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
- Watadumu humo milele. Hakika kwa Mwenyezi Mungu yapo malipo makubwa.
- Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
- Akasema: Ilimu yake iko kwa Mola wangu Mlezi katika Kitabu. Mola wangu Mlezi hapotei wala
- Na Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kwa nini mnaniudhi, nanyi mnajua kuwa
- Na wa mbele watakuwa mbele.
- (Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
- Ndio hivyo! Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kudhoofisha vitimbi vya makafiri.
- Wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. Na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers