Surah Sajdah aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَمَن كَانَ مُؤْمِنًا كَمَن كَانَ فَاسِقًا ۚ لَّا يَسْتَوُونَ﴾
[ السجدة: 18]
Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi sawa.
Surah As-Sajdah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then is one who was a believer like one who was defiantly disobedient? They are not equal.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi sawa.
Kwani watu watakuwa sawa katika malipo yao, na hali wamekhitalifiana katika vitendo vyao? Je! Aliye kuwa mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu ni kama mwenye kumkataa na akamuasi? Hasha! Hawawi sawa!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena la! Karibu watakuja jua.
- Lakini waliikanusha Haki ilipo wajia; kwa hivyo wamo katika mambo ya mkorogo.
- Nitawatenga na Ishara zangu wale wanao fanya kiburi katika nchi bila ya haki. Na wao
- Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili ni jambo la ajabu.
- Mwenyezi Mungu hakuadhibuni mkimshukuru na mkamuamini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kupokea shukrani na ndiye
- Lakini wito wangu haukuwazidisha ila kukimbia.
- Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
- Je! Umemwona yule aliye geuka?
- Wanaafiki wanaogopa isije teremshwa Sura itakayo watajia yaliyomo katika nyoyo zao. Sema: Fanyeni mzaha! Hakika
- Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



