Surah Jinn aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ إِنِّي لَا أَمْلِكُ لَكُمْ ضَرًّا وَلَا رَشَدًا﴾
[ الجن: 21]
Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
Surah Al-Jinn in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "Indeed, I do not possess for you [the power of] harm or right direction."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
Sema: Mimi sina uweza wowote juu yenu wa kukuondoleeni madhara, wala kukuleteeni uwongofu na manufaa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono
- Na pale ulipo toka asubuhi, ukaacha ahali zako uwapange Waumini kwenye vituo kwa ajili ya
- Na walisema: Je! Tutapo kuwa mifupa na mapande yaliyo vurugika, tutafufuliwa kwa umbo jipya?
- Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
- Na unifanyie nyepesi kazi yangu,
- Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Sisi tumewatia mtihani watu wako baada yako, na Msamaria amewapoteza.
- Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni pamoja na wanao inama.
- Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo
- Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers