Surah Shuara aya 204 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ﴾
[ الشعراء: 204]
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So for Our punishment are they impatient?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?.
Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Watu wa Makka wameghurika na kuchelewesha kwangu kuwaadhibu, basi ndio wanaihimiza? Anakusudia Subhanahu Aliye takasika kuzisafihi akili zao kwa sababu ya kuhimiza kwao adhabu juu ya kuwaonya na kuwatisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
- Wala usisema kamwe kwa jambo lolote lile: Hakika nitalifanya hilo kesho -
- Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
- Anaye samehe dhambi na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila
- Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
- Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
- Wanayumba yumba baina ya huku na huko. Huku hawako na huko hawako. Na ambaye Mwenyezi
- Na kaumu ngapi tuliziangamiza zilizo kuwa na mapambo mazuri zaidi na wazuri zaidi kwa kuwatazama!
- Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza
- Sema: Enyi waja wangu mlio amini! Mcheni Mola wenu Mlezi. Wale wafanyao wema katika dunia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



