Surah Waqiah aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُتْرَفِينَ﴾
[ الواقعة: 45]
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed they were, before that, indulging in affluence,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
Hakika hao kabla ya haya walikuwa wamepita kiasi katika kustarehea neema za duniani, wamepumbaa hawataki kumtii Mwenyezi Mungu Mtukufu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
- Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.
- Ewe baba yangu! Hakika mimi naogopa isikupate adhabu inayo toka kwa Mwingi wa Rehema ukaja
- Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru:
- Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
- Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na
- Mwenyezi Mungu huiondolea baraka riba, na huzibariki sadaka. Na Mwenyezi Mungu hampendi kila mwenye kukanya
- Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
- Walipo kwisha pita alimwambia kijana wake: Tupe chakula chetu cha mchana. Kwa hakika tumepata machofu
- Hata watakapo fika, atasema (Mwenyezi Mungu): Je! Nyinyi si mlizikanusha Ishara zangu pasipo kuzijua vyema?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers