Surah Shuara aya 207 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يُمَتَّعُونَ﴾
[ الشعراء: 207]
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They would not be availed by the enjoyment with which they were provided.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?.
Kustarehe kwao kwa umri mrefu na maisha mema hakutowakinga hata chembe na adhabu ya Mwenyezi Mungu. Kwani adhabu ya Mwenyezi Mungu itakuja tu, kama si leo kesho. Wala hapana kheri katika neema ambayo khatima yake ni adhabu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale walio kufuru ni marafiki wenyewe kwa wenyewe. Msipo fanya hivi itakuwako fitna katika
- Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.
- Na ikiwa hawakuitikii, basi jua kuwa wanafuata pumbao lao tu. Na nani aliye potea zaidi
- Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
- Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.
- Na Mwenyezi Mungu huwazidishia uwongofu wenye kushika uwongofu. Na mema yenye kudumu ni bora katika
- Ni ahadi ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu havunji ahadi yake. Lakini watu wengi hawajui.
- Wakasema: Mleteni mbele ya macho ya watu, wapate kumshuhudia!
- Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu
- Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers