Surah Jathiyah aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 21 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿أَمْ حَسِبَ الَّذِينَ اجْتَرَحُوا السَّيِّئَاتِ أَن نَّجْعَلَهُمْ كَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ سَوَاءً مَّحْيَاهُمْ وَمَمَاتُهُمْ ۚ سَاءَ مَا يَحْكُمُونَ
[ الجاثية: 21]

Je! Wanadhani wanao tenda maovu kuwa tutawafanya kama walio amini, na wakatenda mema, sawa sawa uhai wao na kufa kwao? Ni hukumu mbaya wanayo ihukumu!

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Or do those who commit evils think We will make them like those who have believed and done righteous deeds - [make them] equal in their life and their death? Evil is that which they judge.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Wanadhani wanao tenda maovu kuwa tutawafanya kama walio amini, na wakatenda mema, sawa sawa uhai wao na kufa kwao? Ni hukumu mbaya wanayo ihukumu!


Bali wanadhani hao walio chuma yanayo chusha katika ukafiri na maasi kwamba tutawafanya kama walio muamini Mwenyezi Mungu na wakatenda vitendo vyema, na hivyo tuwafanye sawa baina ya makundi mawili hayo katika uhai na katika kufa? Hukumu yao ni mbaya mno, ikiwa wanahisi kuwa wao ni sawa na Waumini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na siku tutakapo wakusanya wote, kisha tutawaambia walio shirikisha: Simameni mahali penu nyinyi na wale
  2. Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
  3. Na hiki Kitabu, tumekuteremshia wewe, kimebarikiwa, ili wazizingatie Aya zake, na wawaidhike wenye akili.
  4. Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
  5. Hebu angalia! Ati wanafunika vilivyomo vifuani mwao ili wamfiche Mwenyezi Mungu! Jueni kuwa wanapo jigubika
  6. Siku watakayo dhihiri wao. Hapana kitacho fichikana chochote chao kwa Mwenyezi Mungu. Ufalme ni wa
  7. Na kabisa usiwe miongoni mwa wale wanao zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, usije kuwa katika
  8. Hakika Saa itakuja bila ya shaka. Nimekaribia kuificha, ili kila nafsi ilipwe kwa iliyo yafanya.
  9. Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
  10. Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jathiyah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jathiyah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jathiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jathiyah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jathiyah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jathiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب