Surah Jathiyah aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 21 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿أَمْ حَسِبَ الَّذِينَ اجْتَرَحُوا السَّيِّئَاتِ أَن نَّجْعَلَهُمْ كَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ سَوَاءً مَّحْيَاهُمْ وَمَمَاتُهُمْ ۚ سَاءَ مَا يَحْكُمُونَ
[ الجاثية: 21]

Je! Wanadhani wanao tenda maovu kuwa tutawafanya kama walio amini, na wakatenda mema, sawa sawa uhai wao na kufa kwao? Ni hukumu mbaya wanayo ihukumu!

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Or do those who commit evils think We will make them like those who have believed and done righteous deeds - [make them] equal in their life and their death? Evil is that which they judge.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Wanadhani wanao tenda maovu kuwa tutawafanya kama walio amini, na wakatenda mema, sawa sawa uhai wao na kufa kwao? Ni hukumu mbaya wanayo ihukumu!


Bali wanadhani hao walio chuma yanayo chusha katika ukafiri na maasi kwamba tutawafanya kama walio muamini Mwenyezi Mungu na wakatenda vitendo vyema, na hivyo tuwafanye sawa baina ya makundi mawili hayo katika uhai na katika kufa? Hukumu yao ni mbaya mno, ikiwa wanahisi kuwa wao ni sawa na Waumini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wote watakuwa na daraja zao mbali mbali kwa waliyo yatenda, na ili awalipe kwa
  2. Na kumbukeni mlipo kuwa wachache, mkionekana wanyonge katika nchi, mnaogopa watu wasikunyakueni, naye akakupeni pahala
  3. Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.
  4. Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni
  5. Mwenyezi Mungu ndiye aliye ifanya bahari ikutumikieni, ili humo zipite marikebu kwa amri yake, na
  6. Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala
  7. Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu?
  8. Na wengi wao hawafuati ila dhana tu. Na dhana haifai kitu mbele ya haki. Hakika
  9. Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
  10. Na hakika hiyo imo katika Asili ya Maandiko yalioko kwetu, ni tukufu na yenye hikima.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jathiyah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jathiyah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jathiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jathiyah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jathiyah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jathiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, August 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers