Surah Sharh aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِذَا فَرَغْتَ فَانصَبْ﴾
[ الشرح: 7]
Na ukipata faragha, fanya juhudi.
Surah Ash-Sharh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So when you have finished [your duties], then stand up [for worship].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ukipata faragha, fanya juhudi.
Basi ukipata nafasi katika kazi ya kuwalingania watu, na mambo yaliyo khusiana na Jihadi, endelea na jitihada ya ibada na jishughulishe nafsi yako katika hayo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
- Enyi mlio amini! Kilicho lazima juu yenu ni nafsi zenu. Hawakudhuruni walio potoka ikiwa nyinyi
- Kwa kosa gani aliuliwa?
- Enyi mlio amini! Yanapo mfikia mauti mmoja wenu na akataka kutoa wasia, basi wawepo mashahidi
- Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu.
- Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Basi nyinyi mkikufuru, mtawezaje kujikinga na Siku ambayo itawafanya watoto wadogo waote mvi?
- Lau isingeli kuwa hukumu iliyo kwisha tangulia kutoka kwa Mwenyezi Mungu ingeli kupateni adhabu kubwa
- Ikigundulikana kuwa wawili hao wamestahiki dhambi, basi wawili wengineo kutokana na warithi wenye kudai haki
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sharh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sharh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sharh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers