Surah Mulk aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mulk aya 30 in arabic text(The Dominion).
  
   

﴿قُلْ أَرَأَيْتُمْ إِنْ أَصْبَحَ مَاؤُكُمْ غَوْرًا فَمَن يَأْتِيكُم بِمَاءٍ مَّعِينٍ﴾
[ الملك: 30]

Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?

Surah Al-Mulk in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Have you considered: if your water was to become sunken [into the earth], then who could bring you flowing water?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?


Sema: Hebu nipeni khabari, maji yenu yakitoweka chini ya ardhi msiweze kuyapata kwa namna yoyote, ni nani asiye kuwa Mwenyezi Mungu atakaye kuleteeni maji ya dhaahiri yanayo miminika anayo weza kuyapata kila atakaye?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 30 from Mulk


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi tulipo waondolea adhabu hiyo, mara wakaingia kuvunja ahadi.
  2. Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo
  3. Sema: Hakika ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu; na hakika mimi ni mwonyaji tu mwenye
  4. Na Suleiman tuliufanya upepo umtumikie. Safari yake ya asubuhi ni mwendo wa mwezi mmoja, na
  5. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mpasuaji mbegu na kokwa, zikachipua. Humtoa aliye hai kutoka maiti, naye
  6. Akasema: Mwenyezi Mungu apishe mbali kumshika yeyote yule isipo kuwa tuliye mkuta naye kitu chetu.
  7. Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo
  8. Na lau kuwa si neno lililo kwisha tangulia kutoka kwa Mola wako Mlezi na muda
  9. Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
  10. Hayo ni kwa sababu waliyachukia aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, basi akaviangusha vitendo vyao.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Surah Mulk Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mulk Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mulk Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mulk Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mulk Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mulk Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mulk Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mulk Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mulk Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mulk Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mulk Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mulk Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mulk Al Hosary
Al Hosary
Surah Mulk Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mulk Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, August 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers