Surah Shuara aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shuara aya 34 in arabic text(The Poets).
  
   

﴿قَالَ لِلْمَلَإِ حَوْلَهُ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ﴾
[ الشعراء: 34]

(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.

Surah Ash-Shuara in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Pharaoh] said to the eminent ones around him, "Indeed, this is a learned magician.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.


Firauni akawaambia watu wake: Hakika Musa ni mchawi bingwa katika uchawi wake. Kasema hayo kwa kuchelea watu wake wasiifuate Haki waliyo iona kwa Musa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 34 from Shuara


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na litapulizwa barugumu, wazimie waliomo mbinguni na waliomo katika ardhi, isipo kuwa aliye mtaka Mwenyezi
  2. Siku mtapo iona, kila mwenye kunyonyesha atamsahau amnyonyeshaye, na kila mwenye mimba ataharibu mimba yake.
  3. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
  4. Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
  5. Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji yaliyo barikiwa, na kwa hayo tukaotesha mabustani na nafaka za
  6. Hicho Kitisho Kikubwa hakito wahuzunisha. Na Malaika watawapokea (kwa kuwaambia): Hii ndiyo Siku yenu mliyo
  7. Na akiwa katika watu wa upande wa kulia,
  8. Mwenyezi Mungu amewatengenezea Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
  9. Na hakika wale wasio iamini Akhera wanajitenga na Njia hiyo.
  10. Na hakika tuliiangamiza miji ilio jirani zenu, na tulizitumia Ishara ili wapate kurejea.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Surah Shuara Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shuara Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shuara Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shuara Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shuara Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shuara Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shuara Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shuara Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shuara Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shuara Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shuara Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shuara Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shuara Al Hosary
Al Hosary
Surah Shuara Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shuara Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, July 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers