Surah Araf aya 174 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكَذَٰلِكَ نُفَصِّلُ الْآيَاتِ وَلَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾
[ الأعراف: 174]
Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And thus do We [explain in] detail the verses, and perhaps they will return.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea.
Kwa mfano wa maelezo wazi yenye hikima tunawabainishia wanaadamu dalili za kuwepo Mwenyezi Mungu, ili warejee waache ukhalifu wao na kuwafuata wapotovu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Apishaneni kwa Mwenyezi Mungu tutamshambulia usiku yeye na ahali zake; kisha tutamwambia mrithi wake:
- Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.
- Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
- Na ndio kama hivyo ndivyo inavyo kuwa Mola wako Mlezi anapo ikamata miji inapo kuwa
- Badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea, bali tangu zamani hatukuwa tukiomba kitu! Hivyo ndivyo Mwenyezi
- Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
- Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
- Sema: Ataihuisha huyo huyo aliye iumba hapo mara ya mwanzo. Na Yeye ni Mjuzi wa
- Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
- Kwani aliye ziumba mbingu na ardhi hawezi kuwaumba mfano wao? Kwani! Naye ndiye Muumbaji Mkuu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



