Surah Kahf aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Kahf aya 37 in arabic text(The Cave).
  
   

﴿قَالَ لَهُ صَاحِبُهُ وَهُوَ يُحَاوِرُهُ أَكَفَرْتَ بِالَّذِي خَلَقَكَ مِن تُرَابٍ ثُمَّ مِن نُّطْفَةٍ ثُمَّ سَوَّاكَ رَجُلًا﴾
[ الكهف: 37]

Mwenzake akamwambia kwa kubishana naye: Je! Unamkufuru aliye kuumba kutokana na udongo, tena kutokana na tone la manii, kisha akakufanya mtu kaamili?

Surah Al-Kahf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


His companion said to him while he was conversing with him, "Have you disbelieved in He who created you from dust and then from a sperm-drop and then proportioned you [as] a man?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mwenzake akamwambia kwa kubishana naye: Je! Unamkufuru aliye kuumba kutokana na udongo, tena kutokana na tone la manii, kisha akakufanya mtu kaamili?


Mwenzie Muumini akamjibu: Unajiachilia kumkufuru Mola wako Mlezi aliye kuumba tangu asli yako ya Adam kutokana na udongo, kisha kutokana na tone ya maji-maji ya mbegu ya uzazi, kisha akakufanya mtu aliye kamilika? Ikiwa unajiona bora kwa mali yako na jamaa zako, basi mkumbuke Mola wako Mlezi na asli yako ya udongo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 37 from Kahf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
  2. Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu
  3. Siku utakapo waona Waumini wanaume na Waumini wanawake, nuru yao iko mbele yao, na kuliani
  4. Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.
  5. Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
  6. Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
  7. Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
  8. Wala hawatayatamani kamwe kwa sababu ya yale yaliyo tangulizwa na mikono yao; na Mwenyezi Mungu
  9. Na Mola wako Mlezi huumba na huteuwa atakavyo. Viumbe hawana khiari. Mwenyezi Mungu ametukuka na
  10. Na hakika walikwisha muahidi Mwenyezi Mungu kabla yake kwamba hawatageuza migongo yao. Na ahadi ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Surah Kahf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Kahf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Kahf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Kahf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Kahf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Kahf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Kahf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Kahf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Kahf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Kahf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Kahf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Kahf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Kahf Al Hosary
Al Hosary
Surah Kahf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Kahf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, December 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers