Surah Maidah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا مِنَ النَّارِ وَمَا هُم بِخَارِجِينَ مِنْهَا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ﴾
[ المائدة: 37]
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Surah Al-Maidah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will wish to get out of the Fire, but never are they to emerge therefrom, and for them is an enduring punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Hawa makafiri wanatamani kutoka Motoni, na wala hawatatoka humo. Watapata adhabu ya daima dawamu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Je! Wanadhani wanao tenda maovu kuwa tutawafanya kama walio amini, na wakatenda mema, sawa sawa
- Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
- Akasema: Kwa hakika nimepewa haya kwa sababu ya ilimu niliyo nayo. Je! Hakujua kwamba Mwenyezi
- Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
- Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
- Na wakaomba ushindi, na akashindwa kila jabari mkaidi,
- Na wengine walikiri dhambi zao, wakachanganya vitendo vyema na vingine viovu. Asaa Mwenyezi Mungu akapokea
- Wala hamtaweza kufanya uadilifu baina ya wake, hata mkikakamia. Kwa hivyo msimili moja kwa moja
- Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maidah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maidah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maidah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



