Surah Maidah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا مِنَ النَّارِ وَمَا هُم بِخَارِجِينَ مِنْهَا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ﴾
[ المائدة: 37]
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Surah Al-Maidah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will wish to get out of the Fire, but never are they to emerge therefrom, and for them is an enduring punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Hawa makafiri wanatamani kutoka Motoni, na wala hawatatoka humo. Watapata adhabu ya daima dawamu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja
- Na hawi katika Watu wa Kitabu ila hakika atamuamini yeye kabla ya kufa kwake. Naye
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
- Wakasema: Wallahi! Huachi kumkumbuka Yusuf mpaka uwe mgonjwa au uwe katika walio hiliki.
- Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!
- La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
- Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
- Hapana shaka yoyote mtapata misukosuko katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka
- Na mna nini hata hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola wenu Mlezi?
- Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maidah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maidah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maidah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



