Surah Maidah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا مِنَ النَّارِ وَمَا هُم بِخَارِجِينَ مِنْهَا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ﴾
[ المائدة: 37]
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Surah Al-Maidah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will wish to get out of the Fire, but never are they to emerge therefrom, and for them is an enduring punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.
Hawa makafiri wanatamani kutoka Motoni, na wala hawatatoka humo. Watapata adhabu ya daima dawamu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi
- Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa
- Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
- Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa kukushindeni hii leo,
- Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
- Na ni vyake Yeye tu Mwenyezi Mungu vilivyomo mbinguni na katika ardhi. Na walioko kwake
- Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
- Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.
- Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwaacha Waumini katika hali mliyo nayo mpaka apambanue wabaya na wema.
- Au kumlisha siku ya njaa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maidah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maidah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maidah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers