Surah Tin aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ فِي أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ﴾
[ التين: 4]
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
Surah At-Tin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We have certainly created man in the best of stature;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
Kwa hakika bila ya shaka yoyote Sisi tumemuumba mtu amesimama sawa kwa umbo bora kabisa lilio nyooka, na akasifika kwa sifa nzuri kabisa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku hiyo pa kutua ni kwa Mola wako Mlezi tu.
- Nanyi mlitujia wapweke kama tulivyo kuumbeni mara ya kwanza. Na mkayaacha nyuma yenu yote tuliyo
- Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
- Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na
- Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.
- Basi walipo yasahau waliyo kumbushwa, tuliwaokoa walio kuwa wakikataza maovu, na tukawatesa walio dhulumu kwa
- Akasema: Bila ya shaka adhabu na ghadhabu zimekwisha kukuangukieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Mnabishana
- Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,
- Na ni vyake Yeye viliomo katika mbingu na ardhi. Na Dini ni yake Yeye daima.
- Ni takrima itokayo kwa Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



