Surah Waqiah aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فِي سَمُومٍ وَحَمِيمٍ﴾
[ الواقعة: 42]
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[They will be] in scorching fire and scalding water
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
Watakuwa kwenye upepo umoto utakao wazunguka, unao penya katika tundu za mwili, na maji yaliyo chemshwa motoni wayanywe na wamiminiwe vichwani,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
- Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
- Hakika humo hutakuwa na njaa wala hutakuwa uchi.
- Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi
- Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye
- Karibu utaona, na wao wataona,
- Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
- Na makaburi yatapo fukuliwa,
- Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na
- Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



