Surah Assaaffat aya 47 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا فِيهَا غَوْلٌ وَلَا هُمْ عَنْهَا يُنزَفُونَ﴾
[ الصافات: 47]
Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No bad effect is there in it, nor from it will they be intoxicated.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
Hakiwaumizi kichwa na kuwaletea ghururi, wala kwa kukinywa hicho haiwapotei akili yao kidogo kidogo, yaani hakileweshi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
- Wanazijua neema za Mwenyezi Mungu, kisha wanazikanusha; na wengi wao ni makafiri.
- Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
- Akasema: Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza.
- Anaye samehe dhambi na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila
- Ewe Daudi! Hakika Sisi tumekufanya wewe uwe Khalifa katika nchi. Basi wahukumu watu kwa haki,
- Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
- Na ambaye ndiye aliye umba katika kila kitu jike na dume, na akakufanyieni marikebu na
- Au waliweza kupitisha amri yao? Bali ni Sisi ndio tunao pitisha.
- Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



