Surah Hijr aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا يَمَسُّهُمْ فِيهَا نَصَبٌ وَمَا هُم مِّنْهَا بِمُخْرَجِينَ﴾
[ الحجر: 48]
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No fatigue will touch them therein, nor from it will they [ever] be removed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
Hawapatwi na machofu huko. Na hiyo ni neema ya daima, wala hawatotoka humo milele.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.
- (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa kufuata njia waliyo jia.
- Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
- Mwenyezi Mungu ndiye aliye teremsha Kitabu kwa Haki, na Mizani. Na nini kitakacho kujuulisha ya
- Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
- Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
- Na kwa yakini tumekwisha ziangamiza kaumu za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia Mitume wao
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Akasema: Ewe Nuhu! Huyu si katika ahali zako. Mwendo wake si mwema. Basi usiniombe jambo
- Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers